Hadithi za kale zenye mafundisho za Esopo zilizoandikwa zaidi ya miaka 3000 iliyopita. Zimetafsiriwa kwa Kiswahili na Issa S. Kanguni, chini ya shirika lisilo la kiserikali la Tanzania Inventors and Techno-Thinkers Consortium (TITC). Tel; +255757242960

Tafuta katika Blogu Hii

Pages

Jumamosi, 21 Desemba 2013

KISA CHA MWANAKONDOO NA MBWA MWITU

Mbwa mwitu alimkimbiza Mwanakondoo, ambaye ili kujiokoa alikimbilia ndani ya hekalu moja la ibada. Mbwa mwitu hakuweza kuingia hekaluni, badala yake alisimama nje akapaza sauti kumwita akimwambia, “Ni heri uje kwangu, maana humo ulimokimbilia Padre akikukamata atakuchinja na kukufanya dhabihu.”
Mwanakondoo akamjibu, “Ni heri nitolewe kafara ndani ya hekalu la Mungu kuliko kuja kwako nikaliwa nawe.”

Share:

0 maoni:

Chapisha Maoni

Live Traffic Feed

Blogroll

BTemplates.com

Inaendeshwa na Blogger.

Jumla ya Mara Iliyotazamwa

Popular Posts

Kumbukumbu la Blogu