Hadithi za kale zenye mafundisho za Esopo zilizoandikwa zaidi ya miaka 3000 iliyopita. Zimetafsiriwa kwa Kiswahili na Issa S. Kanguni, chini ya shirika lisilo la kiserikali la Tanzania Inventors and Techno-Thinkers Consortium (TITC). Tel; +255757242960

Tafuta katika Blogu Hii

Pages

Jumamosi, 21 Desemba 2013

KISA CHA MVUVI NA SAMAKI MDOGO

Ilitokea siku moja kuwa, Mvuvi, baada ya kuhangaika kwenye kazi yake ya kuvua kutwa nzima, aliambulia kukamata Samaki mmoja tu mdogo.
Yule Samaki akamwambia Mvuvi kwa kumbembeleza;
Tafadhali niachie ee bwana,” alilalamika. “Mimi bado ni mdogo sana, sijafikia rika ya kuliwa nawe kwa sasa. Ukinihurumia na kunirudisha mtoni, nitakua haraka, na ndipo baadaye utanivua na nitafaa sana kwa kitoweo wakati huo.”
AAh!, hapana, hapana ee Samaki mdogo,” alisema Mvuvi, “Nimekupata sasa. Huenda nisikupate tena baadaye.”
Share:

0 maoni:

Chapisha Maoni

Live Traffic Feed

Blogroll

BTemplates.com

Inaendeshwa na Blogger.

Jumla ya Mara Iliyotazamwa

Popular Posts

Kumbukumbu la Blogu