
Nyigu alitua kwenye kichwa cha Nyoka na kuanza kumng’ata
mfululizo, akimjeruhi vibaya kwa lengo la kutaka kumwua.
Nyoka, akiwa katika
maumivu makali asijue namna ya kujiokoa na adui yake huyo, mara akaona mkokoteni
uliojazwa magogo ya miti ukipita.
Basi kwa...