
Mbuzi wawili Beberu walikuwa wakirandaranda kwenye pande mbili za mlima kila mmoja kivyake. Kwa bahati mbaya walikutana kwenye eneo lenye korongo lenye kina kirefu sana ambalo chini yake kulikuwa na mto mkubwa uliotiririka kwa kasi.
Tawi...
Hadithi za kale zenye mafundisho za Esopo zilizoandikwa zaidi ya miaka 3000 iliyopita. Zimetafsiriwa kwa Kiswahili na Issa S. Kanguni, chini ya shirika lisilo la kiserikali la Tanzania Inventors and Techno-Thinkers Consortium (TITC). Tel; +255757242960
Tunatengeneza picha za kuweka hapa...
Tunatengeneza picha za kuweka hapa...
Tunatengeneza picha za kuweka hapa...
Tunatengeneza picha za kuweka hapa...
Tunatengeneza picha za kuweka hapa...