
Tausi, kwa maringo na madaha aliupepeza mkia wake mpana na
kumdhihaki Korongo ambaye alikuwa akipita karibu yake, akimtazama kwa dharau kwa kuona rangi ya manyoya yake iliyofubaa na isiyovutia, akamwambia,
“Ona mimi nimevikwa joho la
kupendeza, kama mfalme vile, kwa...